visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Ijumaa, 23 Mei 2014

MPIGA PICHA WA MLIMANI TELEVISION AFARIKI DUNIA

R.I.P MAXMILLIAN NGUBE, SHUJAA WA KAMERA MLIMANI TV, UTAKUMBUKWA DAIMA
10:06 AM No comments
Wingu zito latanda baada ya tasnia ya habari kupokea kwa uchungu na masikitiko makubwa, kifo cha mzee wetu Max aliyejulikana zaidi kama papaa Max.
Alikuwa ni mfanyakazi hodari kutoka Mlimani TV, hakika wanamlimani na wapenzi wa tasnia ya habari kwa ujumla wamemkosha shujaa, kipenzi cha wengi na msema kweli,
Alikuwa ni mpiga picha hodari wa Mlimani TV kwa muda mrefu sana, Tutakukumbuka daima.
Alipenda kujulikana kama papaa Max na msiba utakuwa nyumbani kwa marehemu maeneo ya tegeta, mtandao huu utaendelea kukujuza juu ya mengi kuhusiana na mpiga picha huyu maarufu.
endelea kuwa nasi…!
Mungu ailaze Roho ya marehemu Maximillian Ngube mahara pema peponi.Amina

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni