visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumanne, 27 Mei 2014

ASALITI NA KUVUNJA NDOA SIKU 13 BAADA YA KUFUNGWA

Inaweza kuingia kwenye headline kama tukizihusisha ndoa zilizodumu kwa muda mfupi tena zikifungwa kwa baraka zote kuanzia kwa wazazi hadi kwa Mungu kulingana na sehemu ilikofungwa ndoa hii ambapo ilikua kanisani.
Bonface Oduor ambaye ndiye bwana harusi amesema >>‘Alini saliti baada ya siku 13 ya harusi yetu ilofanyika wikendi ya pasaka’.
Wasiwasi na Uwoga mkubwa wa Bonface Oduor ilitimia hivi maajuzi tu baada ya kumfumania mkewe akishiriki tendo la ndoa na mwanaume mwingine ikiwa ni siku 13 tu baada ya harusi yao.
Jamaa ambaye alimfumania mkewe aitwae Sarah Kayuga kwenye hotel moja ya hotel za Nairobi akiwa na jamaa mwingine.
Harusi
wawili hao walikua wakirejea nyumbani baada ya honeymoon ya siku tano pamoja katika jiji la kifahari la Malindi pwani ya Kenya.
Harusi yao ya kufana ilifungwa kwenye kanisa la Pentecostal Assemblies of God Diani Mombasa Aprili 13 ambapo Oduor amedai ilikua ni ya kupoteza muda na pesa na kaapa kutoishi tena na mwanamke huyo na kujihusisha na mahusinaoya kimapenzi tena kwani hana imani tena na wanawake.
Hata hivyo Wawili hao waliamua kuachana baada ya oduor kugundua kua sarah alikua ametupa picha zake kwenye mtandao wa wozzup akiwa uchi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni