visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumanne, 20 Mei 2014

GHASIA ZAKWAMISHA TENA UCHAGUZI NCHINI MALAWI.

Jeshi lilitumwa kudhibiti ghasia zilizozuka wakati wa uchaguzi mkuu nchini Malawi unaoonekana kama mtihani wa kweli kwa utawala wa rais Joyce Banda unaogubikwa kwa kashfa ya rushwa.
Kufikia kumalizika kwa uchaguzi huo jana, baadhi ya vituo vya kupiga kura tayari vilikuwa vimeanza kuwasilisha matokeo. Hasira na ghasia zilisababisha kutofanyika uchaguzi katika baadhi ya vituo nchini humo. Inaarifiwa kwamba raia waliokosa kupiga kura watapata fursa leo ya kuwachagua viongozi wawatakao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni