visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumatano, 21 Mei 2014

KUMBUKUMBU:LEO TUNAKUMBUKA KUZAMA KWA MV BUKOBA,TUNAJIFUNZA NINI KWA TUKIO HILO.

Ilikuwa tarehe 21 mwezi wa 5 mwaka 1996, wakati ambapo nchi nzima ya Tanzania ilizizima kwa SIMANZI na MAJONZI. Wakati Rais Benjamin Mkapa alipotangaza na kuthibitisha ajali ya Meli ya Mv Bukoba, ambayo alipoteza maisha ya wa Tanzania wenzetu zaidi ya mia nne 400.. Leo ni miaka 18, toka kutokea kwa tukio hilo, ambalo limeacha kumbukumbu mbaya kwetu kama Taifa. Tuzidi kuwaombea wenzetu, lakini pia tutafakari kila mmoja wetu kwa nafasi yake, JE USAFIRI WA MAJINI TANZANIA NI SALAMA..!!??

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni