visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Alhamisi, 29 Mei 2014

BAADA YA MAMBO KUWA SAFI UDSM MIGOMO YAHAMIA SAUTI KUDAI MIKOPO KUTOKA BODI

Wanachuo wa chuo cha saut tawi la mtwara leo wameandamana mpaka kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara kutaka ufumbuzi juu ya mikopo yao kama wanachuo kutoka kwenye bodi ya mikopo.
Madai yao kwa sasa ni miezi 4 hawajalipwa ndipo wakaamua kuandamana maandamano ambayo hayakuwa rasmi hivyo jeshi la polisi mkoa wa mtwara likaingilia kati na kuzima maandamano hayo yaliyoanza mchana majira ya saa 8 mpaka saa 1o.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni