visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Ijumaa, 25 Machi 2016

4.MAKAO YA BIASHARA.#BUSINESS CENTER#

Karibu tena mpendwa msomaji,ambae ni mfanyabiashara na wewe ambae unataka kuanza biashara au umeamua tu kujiongezea maarifa kuhusu biashara.Huu ni muendelezo wa mada zetu ambazo zinapatikana katika kitabu chetu kinachitwa MIMI NI TAJIRI kinachouzwa hapa kwa bei ya 2500/= tu.Kitabu hicho kina baadhi ya mambo muhimu ambayo hayachapishwi hapa kama vile jinsi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kama batiki,shampoo na nyingine zaidi ya nane,mahali ambapo unaweza kupata malighafi za kutengeneza bidhaa hizo na bei za malighafi husika.

Leo katika mada yetu tunaangalia makao ya biashara.

Jumamosi, 19 Machi 2016

MITAJI KUTOKA TAASISI ZA FEDHA #CAPITAL FROM FINANCIAL INSTITUTIONS#

Hujambo mpenzi msomaji na  karibu tena katika mada zetu za ujasiriamali ambazo zimekuwa zikiletwa kwako kwa mfululizo maalum.

Leo tunaendelea na mada ambayo tayari tulishaianza ya Mitaji na vyanzovyake ambapo mala ya mwisho tuliishia kutoa mfano wa jamaa ambae alisafiri kutoka mkoani mpaka jijini Dar es salaam akiwa na nauli tu lakini bado alifanikiwa kuwa miongoni mwa watu wenye fedha mjini.

Katika muendelezo leo tutaangalia mitaji kutoka taasisi za fedha.

Alhamisi, 17 Machi 2016

MITAJI KATIKA UJASIRIAMALI

Hujambo mpenzi msomaji na karibu tena katika mfululizo wa mada zetu hizi za Ujasiriamali ambazo zinaletwa kwako na mimi mshauri wako wa mambo ya kibiashara MUKEBEZI DEONIDAS.Mada hizi zimechukuliwa kutoka katika kitabu ambacho kiko sokoni kwa sasa kinachoitwa MIMI NI TAJIRI ambacho huuzwa kwa shilingi elfu mbili na mia tano tu.Hata hivyo tunashukuru kwa muitikio wa watu wengi mnaoendelea kujinunulia kijitabu hiki chenye maarifa ya kutosha ikiwemo jinsi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kama batiki na nyingine nane za aina tofauti,Mahali yanakopatikana maduka ya malighafi pamoja na bei za malighafi hizo.Mada hizi tatu nilizozitaja hazitaweza kuchapishwa hapa na kwa hivyo wale watakaonunua kitabu hiki ndio pekee watakuta mada hizo au watakaonunua mada mojamoja ambazo huuzwa wa shilingi mia tano tu.Tumia mawasiliano yetu kama unataka kujipatia kitabu hiki au mada hizi zilizotajwa hapa.0654627227.

Leo tunakuletea mada inayohusu mtaji katika biashara au ujasiriamali

Ijumaa, 11 Machi 2016

JINSI YA KUTAFUTA MASOKO KATIKA BIASHARA. #HOW TO GET MARKET#

Hujambo mpenzi msomaji, karibu tena katika mfululizo wa mada zetu za ujasiriamali zinazoletwa kwako na mimi muelimishaji wako Mukebezi,Deonidas.Ndugu msomaji huu ni mfululizo wa mada zinazopatikana katika kitabu kinachoitwa MIMI NI TAJIRI ambacho tunakiuza kwa njia ya mtandao kwa shilingi elfu mbili mia tano tu (2500/=). Tunaona muitikio wa kununua vitabu hivi umekuwa ni mkubwa sana kwani watu zaidi ya 40 wameshapata kitabu hiki na ni matumaini yetu kwamba wanayafurahia yaliyomo na kuyafanyia kazi. Pamoja na watu wengi kujitokeza baadhi yenu mmelalamika kuwa hamna email ambazo mngeweza kutumiwa kitabu hiki na mkatoa ombi vitoke katika mfumo wa hard copy yani viprintiwe.Kutokana na hilo tunakaribisha mtu yoyote mwenye mapenzi mema ambae yuko tayari kuprint vitabu hivi,awasiliane nasi kwa kutumia mawasiliano yetu na hatutasita kufanya makubaliano nae.

Pia ndugu msomaji katika kitabu hiki kuna maelekezo ya jinsi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kama sabuni,batiki,tomato nk,ambapo bidhaa nane zimeandikwa kwenye kitabu lakini kutokana na maombi ya baadhi ya watu ambao wameshanunua kitabu hiki,mada hiyo ambayo ilitakiwa ndio iandikwe wiki hii katika kulasa zetu haitawekwa na badala yake tutaendelea na jinsi ya kutafuta masoko ya biashara yako.Ukitaka kujua jinsi ya kutengeneza bidhaa hizo nunua na usome kitabu chetu cha mimi ni tajiri na utakutana na bidhaa nane tofautitofauti.
Mpendwa msomaji soko ndio moyo wa biashara.

Jumanne, 8 Machi 2016

UJASIRIAMALI; AINA ZA BIASHARA#TYPE OF BUSINESS#

Karibu tena mpenzi msomaji wetu katika mfululizo wa makala zetu za ujasiriamali.Makala hizi ni muendelezo wa kile kilichoandikwa kwenye kitabu kinachoitwa MIMI NI TAJIRI kinachouzwa mtandaoni kwa shilingi 2500 tu.Kama unahitaji kitabu hiki chenye ushauri wa kibiashara,jinsi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali ikiwemo sabuni na shampoo,Mahali yalipo maduka ya malighafi za kutengenezea bidhaa hizo pamoja na bei za malighafi husika, wasiliana nasi kupitia namba yetu 0654627227 au tuandikie kwenye mdeonidas@gmail.com. Leo katika makala hii tutaangalia aina za biashara na jinsi inavyoweza kukusaidia kupata wazo la biashara. Wakati mjasiriamali anafikiria kuhusu wazo la biashara,ni lazima afikirie kuhusu aina mbili za biashara ambazo kupitia hizo mawazo mbalimbali ya kibiashara huweza kupatikana.Aina hizo ni kama ifuatavyo;

Jumapili, 6 Machi 2016

UJASIRIAMALI

Karibu mpenzi msomaji katika mfululizo wa mada zetu za ujasiriamali ambazo zinapatikana katika kitabu maalum cha ujasiriamali kinachoitwa MIMI NI TAJIRI kinachouzwa kwa shilingi 2500 tu.Kama unahitaji kitabu hicho chenye pia maelekezo ya jinsi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali na jinsi utakavyopata malighafi wasiliana nasi kwa kutumia namba zetu na utakipata mala moja.

Leo katika muendelezo wa mada zetu tutaangalia mambo yanayoweza kumkwamisha mjasiriamali.

Ijumaa, 4 Machi 2016

MAANA HALISI YA UJASIRIAMALI

1. MAANA YA UJASIRIAMALI.

Ujasiriamali ni ile hali ya mtu kuona fulsa na kuzifanyia kazi kwa lengo la kujipatia kipato. Kwa mfano mtu anapoishi mazingira ambayo watu wamekosa nishati ya umeme anaweza kutumia kama fulsa kwa kuuza vifaa vya umeme wa jua akajipatia kipato.Mala nyingi mjasiriamali anakuwa na sifa zifuatazo;