visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Alhamisi, 1 Mei 2014

JINSI MAGAAZET YALIVYORIPOTI LEO KUHUSU KUKAMATWA GARI LA MBOWE KENYA.

Ni magazeti kadhaa ya leo Tanzania ambayo yameripoti kuhusu kukamatwa kwa gari la Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe huko Mombasa Kenya.
Jambo leo wameripoti kwamba gari la Mbowe lililokamatwa ni lile la kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ambapo limekamatwa kwenye msako wa magaidi na uhalifu nchini humo na Polisi wanamsubiri Mbowe na Wenje kwa mahojiano.
Gazeti la habari leo limeandika kwamba gari la Mbowe lashikiliwa Mombasa, namba mbili za STK na KUB zatisha Polisi Kenya na dereva ahojiwa akihisiwa kuhusika na ugaidi.
Uhuru wameandika shangingi la Mbowe lakamatwa Kenya, alikwenda huko na Ezekia Wenje, dereva wake ahojiwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni