visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumapili, 1 Juni 2014

MASKINI:MAMA MZAZI WA MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI ZITO KABWE AFARIKI DUNIA

Ni taarifa nilizopata asubuhi ya June 1 2014 kuhusu kifo cha mama mzazi wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe aitwae Bi Shida ambapo aliethibitisha kifo hicho ni Zitto Kabwe mwenyewe.
MUKEBEZI BLOGinampa pole Zitto Kabwe kwa kipindi hiki kigumu cha kumpoteza mama, Mungu ampe nguvu katika kipindi hiki cha majonzi na taratibu zote za msiba tutakuletea

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni