visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumatatu, 30 Juni 2014

AJALI YAUA TENA NA KUJERUHI


Mtu mmoja amefariki na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyihusisha muendendesha toroli na basi la abirilia huko sengerema,mkoani mwanza.
Tukio hilo lilitokea jana majira ya saa tisa arasili ambapo basi la abiria mali ya kampuni ya Rushanga lenye namba za usajili T312 lililokuwa na abiria likielekea mkoa wa mwanza kutokea Geita kupitia kivuko cha Kamanga lilimgonga muendesha toroli lililokuwa limebeba miti na kusababisha kupasuka kichwa na kupoteza maisha hapo hapo.
Mwili wa marehemu umepelekwa katika hospitali ya wilaya ya sengerema kwa uchunguzi zaidi wakati majeruhi wakipelekwa hospitalini hapo kwaajili ya matibabu.Laiti kama marehemu angevaa kofia ngumu asingekutwa na umauti huo.Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amin.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni