visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumamosi, 26 Aprili 2014

MANCHESTER UNITED ULIKUWA MGOMO AU!MBONA MAMBO SAFI SASA BAADA YA MOYES KWENDA.

Ikiwa ni mechi ya kwanza toka Ryan Giggs achaguliwe kuchukua kwa muda nafasi ya David Moyes alietimuliwa, Manchester United imemiliki headlines kwa sauti kubwa baada ya ushindi mkubwa ilioupata leo April 26 2014.
Magoli ya Man U dhidi ya Norwich yalifungwa na Rooney kwenye dakika ya 41 kwa panati na dakika ya 48 huku mawili yaliyobaki yakifungwa na Mata kwenye dakika ya 63 na 73

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni