visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumapili, 27 Aprili 2014

KANISA KATHOLIC KATIKA MCHAKATO WA KUWATANGAZA MAPAPA KUWA WATAKATIFU LEO.

Kanisa katoliki leo linategemea kuwatangaza watakatifu ambao huandikwa katika kitabu cha maisha ya watakatifu,Papa John Paul II na John XXIII wanatarajiwa kutangazwa watakatifu katika tukio litakaloongozwa na kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis huko St Peter’s Square jijini Vatican.
Watu milioni moja wanatarajiwa kuhudhuria tukio hili la kihistoria.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni