visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Ijumaa, 4 Julai 2014

UFARANSA OUT KOMBE LA DUNIA

Mfungaji bao la Ujerumani
Ujerumani Imesajili ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ufaransa katika mechi ya robo fainali.
Kufuatia ushindi huo dhidi ya Ufaransa ndiyo timu ya kwanza kuwahi kufuzu kwa nusu fainali katika mashindano manne ya kombe la dunia mfululizo .
Ujerumani ndiyo timu ya kwanza kufuzu kwa nusu fainali ya kombe la dunia huko Brazil.
Kufuatia ushindi huo Ujerumani watakutana na mshindi baina ya Brazil na Colombia katika hatua ya nusu fainali .
90'30 Ujerumani 1-0 Ufaransa
85:35 Ujerumani 1-0 Ufaransa
58:50 Kadi ya kwanza ya manjano inamwendea Sami Khedira refarii Nestor Pitana amechoshwa na mchezo wake wa ngware .
57:34Depsome Elisha Kahama tz! Ujeruman bingwa
Bao la Mat Hummels
Samwel Paul: Ufaransa lazima watoke hata kupambana kwao kote Ujerumani
51:30Husein Mono Wa Mwanga Kilimanjaro TZ ;Ufaransa bado wanna uwezo hata was kushinda!
45:20 Kipindi cha pili kimeanza
45'' Kipindi cha kwanza kimekamilika .
44 Ujerumani 1-0 Ufaransa
41 Benzema anakosa fursa nyengine ya kuisawazishia Ufaransa.
40'' Mechi hii inaendelea katika uwanja wa kihistoria wa Maracana
Kufikia sasa Bao la dakika ya 12 la Mats Hummels ndilo linaipatia ujermani kipao mbele
Mshindi wa mechi hii atakutana na mshindi kati ya Brazil na Colombia katika nusu fainali.
Ujerumani inakabiliana na Ufaransa kutafuta tikiti ya nusu fainali ya kombe la dunia .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni