visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumanne, 8 Aprili 2014

DUDUBAYA FANYA KAZI ACHA KUENDEKEZA USHIRIKINA.NDIO NINI KUMKATA MAMA YAKO SIKIO.


story ni kuhusu Dudu Baya kumkata skio mama yake mkubw, kwa madai kuwa anamroga ndio maana hafanyi vizuri katika kazi zake za mziki.

Kwa mujibu wa mdogo wake kabisa (baada ya kuzaliwa yeye) amethibitisha kutokea kwa tukio hilo

"yah kafanya hivyo, ni jambo la kusikitisha unajua ni hivyo, lakini sasa ndio hivyo keshafanya, kaenda kule kwa mama mkubwa kamkata skio, sababu haijulikani ni kwasababu gani kaenda kufanya hivyo, hata kama alikuwa na sababu halikuwa jambo la busara kumkata sikio"

"nilienda nikamuuliza nani amemkata sikio akasema ni mheshimiwa, akadai kwamba alikuwa anamwambia anamloga sijui nini, mambo ambayo hayana hatia ya msingi kwa ujumla, kwasababu hata ukiangalia yeye ni motto wala haumwi chochote wala wala mwanae hawaumwi ni mzima sasa amemroga nini........"
zaidi msikilize hapa chini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni