visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Alhamisi, 28 Mei 2015

MWANAFUNZI ALAZIMISHWA KULA MATAPISHI YAKE .


Walimu wawili wamefukuzwa kazi baada ya kumlazimisha mwanafunzi kula matapishi yake baada ya kutapika wakati akipokea kipigo kutoka kwa walimu hao.

Walimu hao ambao walikuwa wanafundisha katika shule moja ya watoto wenye matatiza ya kihisia walitenda kosa hilo lililosababisha vibarua vyao kuota nyasi katika huko Suffolk county council.

Shule hiyo ambayo jina lake halikutajwa kwa sababu maalum imekuwa ikikumbwa na kashfa mbalimbali za kunyanyasa wanafunzi wake ambapo sasa matukio hayo yanafikia 100.

Kaisome The trent.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni