visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Jumatatu, 3 Februari 2014

KIKWETE ATEMBELEA MAJENGO YA BUNGE LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mlisho Kikwete leo ametembelea na kukagua majengo ya bunge la jamhuri ambayo ujenzi wake unaendelea.

Mheshimiwa Kikwete ametembelea majengo hayo mala baada ya kutoka katika sherehe za CCM zilizofanyika mjini Mbeya jana

Majengo hayo ya bunge yanajengwa na kufanyiwa ukarabati kwaajili ya wajumbe wa Bunge la katiba linalotarajiwa kuanza hivi karibuni kwaajiri ya kujadiri rasimu ya katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Zifuatazo ni picha mbalimbali zikimuonesha rais katika ukaguzi wa majengo hayo leo;


PICHA KWA HISAN YA OTHMAN.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni