PICHA;FIKIRIA KWA MAKINI KUHUSU JINA LA BIASHARA YAKO.
Wafanyabiashara wamekuwa wakichukulia jina la biashara kama kitu cha kawaida na sio moja kati ya vipaumbele katika mambo yao muhimu ya kuzingatia wakati wa kuanzisha biashara.Kufanya hivyo ni makosa kimsingi kwa sababu huweza kuleta madhara makubwa katika biashara yako hususani wateja wako wanapokutana na wateja wapya wanaohitaji kuijua biashara yako.
Wakati unapoanzisha biashara yako jina ni jambo muhimu sana la kuzingatia.Pamoja na kuwa jina lina umuhimu lakini kuna mambo muhimu ya kuzingatia ili kufanya jina la biashara yako kuleta matunda unayoyakusudia.Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo mfanyabiashara unapaswa kuzingatia wakati unabuni jina la biashara yako;
JINA LAZIMA LIWE FUPI.
Majina marefu ni rahisi sana kusahaulika na ni vigumu kuyakumbuka tena. Hakikisa jina la biashara yako linakuwa fupi na lenye kuvutia katika midomo ya watu.Ufupi wa jina unafanya iwe rahisi kulitamka na kulirudiarudia na hatimae kuzoea katika vichwa au midomo ya watu.Wakati unabuni majina jaribu majina matatu harafu ushirikishe wengine ni jina gani zuri kuliko mengine mawili.
LINALOAKISI KILE KINACHOFANYWA NA BIASHARA YAKO.
Jitahidi sana kubuni jina ambalo linapotamkwa akili ya mtu inampeleka katika aina fulani ya biashara.Hii ni muhimu sana hususani kwa wafanyabiashara ambao hawafahamiki na wanahitaji wateja kwaajili ya biashara zao.Jina la biashara linapoakisi biashara husika inakuwa rahisi kwa wateja kufahamu unachokiuza na hatimae kuanza kuipa biashara yako umaarufu.
LINALOGUSA HISIA ZA WATU.
Moja kati ya njia ya kupata wateja katika biashara yako ni kuipa jina ambalo linagusa hisia za watu.Kumbuka washindani wa biashara yako ni wengi na kila mmoja anafanya mbinu mbalimbali kuhakikisha wateja hawaendi kwenye biashara nyingine isipokuwa zao.Jitahidi kuzigusa hisia za watu wanapotamka jina la biashara yako ili kuwafanya waikumbuke wakati mwingine.Mfano badala ya kusema ''DUKA LA MAFUTA YA WATOTO'' Unaweza kuliita ''MTOTO SHOP''.
LIFANYE KUWA RAHISI.
Jina la biashara halitakiwi kuwa na misamiati migumu ambayo itamfanya mteja kupata shida anapohitaji kulikumbuka na kulitamka tena.Pamoja na urahisi huo bado jina linatakiwa kuwa na vigeza vinavyotakiwa.
LA KIPEKEE.
Hupaswi kunakiri majina ya biashara nyingine.Chagua jina la kipekee ambalo litakutambulisha wewe na biashara yako.Kuipa biashara yako jina la biashara nyingine inaweza kuleta athari kwa biashara yako kwani unaweza kuwa unaitangaza biashara ya mtu mwingine bila kujifahamu hususani kama biashara ya mtu huyo imekuwa kubwa kuliko yako.
Tutumie maoni yako hapa chini kama kuna lolote unataka ku share na sisi.Pia kumbuka kushare ni kujari kile tunachokupatia.Bonyeza vitufe vya facebook na twitter vilivyoka hapo chini.
LA KIPEKEE.
Hupaswi kunakiri majina ya biashara nyingine.Chagua jina la kipekee ambalo litakutambulisha wewe na biashara yako.Kuipa biashara yako jina la biashara nyingine inaweza kuleta athari kwa biashara yako kwani unaweza kuwa unaitangaza biashara ya mtu mwingine bila kujifahamu hususani kama biashara ya mtu huyo imekuwa kubwa kuliko yako.
Tutumie maoni yako hapa chini kama kuna lolote unataka ku share na sisi.Pia kumbuka kushare ni kujari kile tunachokupatia.Bonyeza vitufe vya facebook na twitter vilivyoka hapo chini.
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
JibuFutaMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com