visit here again on mukebez.blogspot.com


CHANGE YOUR LIFE

CHANGE YOUR LIFE
Go to Amazon .com and get the copy of this book to make your life better.

Ijumaa, 23 Machi 2018

MWALIMU KUTEGEMEA VIBOKO NI KUKIRI UDHAIFU.

 

 Walimu pamoja na wazazi Tanzania tumekuwa na utaratibu ambao sasa umegeuka kuwa utamaduni wetu wa kutumia viboka kuwaadabisha watoto wetu. Wakati huohuo sisi watu wazima tulikataa utaratibu huo kwa nguvu kweli wakati wakoloni walipokuwa wanautekeleza kwetu.( hii inachekesha kweli).Mala nyingi nimekuwa nikiwaambia watoto wadogo kuwa sio vizuri kumfanyia binadamu mwenzako kile ambacho usingependa wewe kufanyiwa. Kwanini sisi tunawafanyia watoto wadogo matendo haya!!.

Kila binadamu kulingana na umri alionao ikiwa ni mtoto,kijana au mzee ana mapungufu ambayo binadamu wa umri mwingine hawayapendi.Vijana wanafanya mambo ambayo wazee hawapendi,Wazee hufanya mambo ambayo watoto hawapendi na ndio mana wakati mwingine utamsikia mtoto anauliza swali kama, kwa nini mzee yule anakunywa pombe au anampiga mama yake Bakari kila siku??. Sasa je watoto nao wakiona wazee au vijana wanafanya makosa kwa nini wasiruhusiwe kuwachapa wazee?? au ndio ile sheria ya mwenye nguvu ndio atasurvive.

KWA WALIMU; Hebu jaribu kujipima uwezo wako wa kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema bila kumuumiza.Mimi nilikuwa moja kati ya walimu wanao amini sana viboka.Sasa hivi nikimuona mwalimu anamchapa mwanafunzi namuona kama mwalimu aliefell kila kitu na hata hastahiri kumfundisha mwanafunzi jinsi ya kuendesha maisha na kuwa mtu mwenye furaha wakati yeye anashindwa kumfurahisha mwanafunzi huyo. Ukiweza hasa kuzifuata mbinu mbali mbali za kuwasaidia wanafunzi kuwa na tabia njema utajikuta unaipenda kazi yako kiasi kwamba hata ukiwa ni siku ya kufunga shule unjisikia kulia kwasababu wanafunzi unawaona kama familia yako na wanajisikia hivyo hivyo. Hakuna kitu ninachofurahi kila siku asubuhi nikienda kazini kama kuona kundi la wanafunzi wakinishangilia baada ya kuniona mwalimu wao nawasili kazini. TUACHE KUWAFANYA WANAFUNZI MAADUI ZETU KWASABABU HUWEZI KUMFUNDISHA ADUI YAKO AKAKUELEWA. Sitaki kuwaacha walimu hapa bila kuwapa kamfano ka jinsi unavyoweza kusaidia tabia njema kwa wanafunzi; Soma tabia za wanafunzi wako wote na ujue kila mmoja anapenda nini.Mwanafunzi anapokosea jambo mwambie siku hiyo hatafanya kile anachokipenda ikiwa ni kucheza mpira au rede. Huu ni mfano tu wa adhabu ambazo hazimuumizi mwanafunzi mwili wake bali zinampa motisha kufanya vizuri.Zipo nyingi ambazo kama mtu anahitaji msaada anaweza kunitumia ujumbe kwenye 0626641484 tukakubaliana jinsi ya kusaidiana kwa hili. MOJA KATI YA MAMBO NINAYO YAPIGANIA SASA HIVI NI KUPATA MSAADA KUTOKA KWA WADAU WA ELIMU TUWEZE KUWA NA MADARASA AMBAYO YATAKUWA KAMA YA MFANO WA JINSI YA KUWAFUNDISHA WATOTO WAKIWA NA FURAHA,HURU NA KUIJUA THAMNANI YA ELIMU.Kama wewe ni mmoja wapo pia tafadhari usisite hakuna juhudi inayopotea bure.

KWA WAZAZI; Tafadhari sana wazazi msitumie watoto kama sehemu ya kumalizia hasira zenu.Watoto wanarugha mbalimbali ambazo zinaashiria upendo na kila mmoja anarugha yake ambayo ukiigundua ukaifanyia kazi basi mtoto huyo atafanya unachotaka badala ya kumpiga mifimbo kila siku.
Mfano kuna watoto (pamoja na watu wazima) ambao lugha yao ya upendo ni Zawadi.Yani mtoto huyu au mtu huyu ukiwa unampa zawadi basi mwambie chochote atakuwa anakufanyia kwasababu unampa furaha ya maisha yake.LUGHA HIZI ZA UPENDO ZIKO TANO NA KILA BINADAMU ANA LUGHA YAKE. Wazazi pia kama unataka kujua zaidi kuhusu lugha za upenda kwa mwanao na mkeo au mumea na jinsi ya kuzitumia ukapata faraja ya maisha na mtoto akaacha kukusumbua nitumie ujumbe ili tujue tunasaidiana vipi.


Maoni 2 :

  1. Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.

    Niliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.

    Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.

    ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
    Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
    Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
    Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
    Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
    Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
    Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
    Hirizi za mvuto
    Kutatua migogoro ya ardhi na mali
    Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
    Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
    Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
    Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta
  2. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta